- 97 viewsDuration: 1:55Idadi ya watoto wachanga wanaopata huduma maalum katika hospiitali ya rufaa ya Msambweni kaunti ya Kwale imeongezaka kutoka 39 hadi 90 kila mwezi, baada ya kufunguliwa kwa kituo cha watoto kilicho na uwezo wa kuhifadhi watoto 55.