Skip to main content
Skip to main content

Kombe la dunia: Ufaransa vs Uhispania: Nani kuibuka mbabe?

  • | BBC Swahili
    11,784 views
    Duration: 2:35
    Bingwa wa michuano ya Kombe la dunia wa mwaka 1998 na mwaka 2018 Ufaransa hii leo wanaminyana dhidi ya bingwa wa mwaka 2010 Uhispania katika nusu fainali ya kukata kwa shoka. Ni mpambano baina ya nyota wawili duniani Kylian Mbappe na Lamin Yamal, je nani ataibuka kidedea? #bbcswahili #ufaransa #hispania Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw