Skip to main content
Skip to main content

Kujiuzulu kwa Makamu wa Rais wa Tanzania Emmanuel Nchimbi kunamaanisha nini?

  • | BBC Swahili
    45,944 views
    Duration: 10:47
    Makamu wa Rais wa Tanzania, Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kujiuzulu na kustaafu siasa, pamoja na utumishi wa umma, na Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia. Lakini hatua hii imanaanisha nini? Na je, hii itakuwa na athari zipi kwa mustakabali wa siasa za chama tawala CCM ndani ya Tanzania? #DiraYaDuniaTV