Skip to main content
Skip to main content

Kupotea kwa umeme kwalemaza shughuli Nyandarua

  • | KBC Video
    69 views
    Duration: 1:28
    GIZA TOTORO NYANDARUA Biashara katika mji wa Murungaru, Kinangop, Kaunti ya Nyandarua zimelemazwa kufuatia kukatika kwa umeme kwa majuma matatu yaliyopita. Tatizo hilo, linalodaiwa kusababishwa na kuharibika kwa mtambo wa transfoma, limewaacha wakazi na wafanyabiashara gizani licha ya juhudi za maafisa wa kiufundi wa kampuni ya umeme, Kenya Power za kurekebisha hali hiyo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive