Skip to main content
Skip to main content

Kwa nini mataifa yenye nguvu duniani yanakimbizana kuidhibiti Aktiki

  • | BBC Swahili
    7,372 views
    Duration: 10:15
    Mvutano unaongezeka katika eneo la Aktiki — sehemu ya kaskazini kabisa ya dunia kwa sababu eneo hilo linaongezeka joto kwa kasi zaidi kuliko maeneo mengine yote duniani Barafu inavyoyeyuka, inaweza kufichua rasilimali muhimu kama mafuta, gesi, na madini, na hivyo mataifa mbalimbali yameanza kushindania umiliki wake. Mataifa hayo ni yapi? Tazama #bbcswahili #arctic #haliyahewa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw