- 19,773 viewsDuration: 47sJe, umewaona wachezaji wako unaowapenda wakivaa vesti hizi nyeusi zinazofanana na 'sidiria'? Baadhi ya wachezaji katika Kombe la Dunia wamekuwa wakivaa vesti maalumu zenye teknolojia ya kisasa (smart vests), ambazo ni vifaa vinavyovaliwa mwilini na vinaweza kufuatilia mambo mbalimbali. Seif Abdallah anaelezea #bbcswahili #kombeladunia #smartvest Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw