Skip to main content
Skip to main content

Lazium FC washinda taji la Rashid Abdallah Super Cup baada ya kuifunga Azzam United 2-1

  • | Citizen TV
    578 views
    Duration: 1:45
    Timu ya Lazium FC ndio mabingwa wapya wa mchuano wa Rashid Abdallah super cup baada ya kuilaza Azzam united mabao mawili kwa moja kwenye fainali iliyochezwa uwanja wa kaunti ya Kwale.