Skip to main content
Skip to main content

Lissu kuanza kujitetea mwenyewe

  • | BBC Swahili
    54,957 views
    Duration: 20s
    Baada ya uamuzi wa mahakama nchini Tanzania kusema kwamba Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ana kesi ya kujibu, Kesi hiyo ya uhaini inaedelea ambapo Lissu yupo tayari kuanza kujitetea Tundu Lissu, aliliambia jopo la majaji waliomkuta na kesi ya kujibu kuhusu tuhuma za uhaini kuwa atajitetea mwenyewe. #bbcswahili #tundulissu #tanzania Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw