Skip to main content
Skip to main content

Lori lauwa ngamia 14 katika barabara ya kuu ya Namanga

  • | Citizen TV
    2,786 views
    Duration: 1:40
    Ngamia kumi na wanne walikufa mapema leo kwenye ajali ya barabarani iliyotokea katika Barabara Kuu ya Namanga. Kulingana na mmiliki wa ngamia hao, ngamia wengine sita walipotea baada ya ajali hiyo na kwamba anakadiria hasara ya shilingi milioni nne. Polisi wanachunguza kilichosababisha ajali hiyo iliyohusisha lori la trela.