Skip to main content
Skip to main content

Lori lavamia watu baada ya kusukumwa na maporomoko ya ardhi

  • | BBC Swahili
    6,085 views
    Duration: 22s
    Maporomoko ya ardhi yasukuma lori la mafuta na kuwagonga watu nchini India Tukio hilo lilitokea baada ya rundo kubwa la mchanga na vifusi kutoka eneo la ujenzi wa handaki kuporomoka kufuatia mvua kubwa. Kwa mujibu wa taarifa za awali, wafanyakazi wasiopungua watatu wamefariki dunia, huku wengine watano wakiripotiwa kupotea. #bbcswahili #haliyahewa #maporomokoyaardhi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw