Skip to main content
Skip to main content

Maafa ya Wakenya Urusi: Familia ya dereva aliyeuwawa yalia

  • | Citizen TV
    984 views
    Duration: 2:42
    Familia ya mkenya mmoja aliyeuwawa kwenye mapigano nchini urusi sasa inaililia serikali kuisaidia kurejesha mwili wake nchini. Familia hiyo inadai kuwa martin macharia mburu alikwenda urusi kufanya kazi ya udereva ila akajipata vitani. Wizara ya masuala ya kigeni nchini inasema haina habari zozote kuhusu kifo chake.