Skip to main content
Skip to main content

Maafisa 7 wa zamani wa wanamaji kizimbani uchunguzi wa wizi wa mihadarati ya Sh8.2 bilioni waendelea

  • | Citizen TV
    1,464 views
    Duration: 1:51
    Mahakama ya mombasa imeagiza maafisa saba wa zamani wa jeshi la wanamaji kusalia korokoroni kwa siku 10 ili kutoa nafasi ya uchunguzi kuhusu shehena ya mihadarati ya shilingi bilioni 8.2 iliyotoweka chini ya ulinzi wao