Skip to main content
Skip to main content

Maandamano Borabu yakilalamikia ongezeko la pombe haramu na mihadarati

  • | Citizen TV
    287 views
    Duration: 1:19
    Mamia ya wakaazi wa eneobunge la Borabu kaunti ya Nyamira walifanya matembezi ya kutoa hamasisho kulalamikia pombe na dawa za kulevya katika eneo hilo. Wakibeba mabango, wenyeji wakiongozwa na makanisa ya Katoliki, SDA, pamoja na wawakilishi wa mashirika mbalimbali waliandaa msafara wa amani kutoka maeneo ya Nyaronde hadi Kijauri ambapo kikao cha umma kilifanyika. Maeneo haya yakitajwa kati yale yanayoongoza kwa pombe isiyoruhusiwa na mihadarati