Skip to main content
Skip to main content

Maandamano katika mbuga ya Amboseli Kaunti ya Kajiado yasitishwa ili mazungumzo yaandaliwe

  • | Citizen TV
    539 views
    Duration: 2:12
    Maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanyika katika mbuga ya Amboseli Kaunti ya Kajiado ya kupinga kusimamishwa kwa mchakato wa uhamisho, yasitishwa baada ya rais William Ruto kuingilia kati na kutaka mazungumzo yafanyike.