- 35 viewsWazazi walio na watoto wenye mahitaji maalum katika kaunti ya Taita Taveta wametakiwa kuwapeleka watoto hao shuleni badala ya kuwatelekeza nyumbani.. Maafisa kutoka hazina ya kitaifa ya watu wanaoishi na ulemavu wakisema wanaendelea kujenga shule maalum katika maeneo bunge yote 290 ili wanafunzi hao wapate elimu bora.