- 5,199 viewsDuration: 2:52Zaidi ya familia mia tatu kutoka kijiji cha Maembeni kaunti ya Kisumu zimesalia bila makao baada ya mto Nyando kuvunja kingo zake Jumatatu usiku. Wakazi hao wakitaka vizuizi vya maji kujengwa ili kuwaokoa kutokana na mafaa zaidi. Mazao ya ekari zaidi ya mia tatu pia ilisombwa na maji katika kaunti ya Baringo huku mto Tana pia ukivunja kingo kutokana na mvua inayonyesha.