- 1,326 viewsDuration: 2:13Baadhi ya wakazi wa Namanga kaunti ya kajiado wamehamishwa kutoka kwao kwa sababu ya mafuriko. Mvua kubwa ilisababisha mito na mitaro ya majitaka kujaa na kueleleza maji katika baadhi ya makazi. serikali ya kaunti imeanza mipango ya kuwasaidia waathiriwa huku tathmini ya uharibifu ikiendelea.