Skip to main content
Skip to main content

Magari yasombwa barabarani na maji ya mafuriko.

  • | BBC Swahili
    8,152 views
    Duration: 17s
    Mafuriko hayo yalitokea kufuatia Kimbunga Bavi, dhoruba yenye nguvu zaidi kuikumba China mwaka huu. Kimbunga hicho kilisababisha mvua kubwa katika pwani ya mashariki na upepo mkali katika miji yenye msongamano mkubwa wa watu. Takriban watu milioni mbili wamehamishwa kutoka maeneo yaliyokumbwa na kimbunga hicho. #bbcswahili #foryou #china Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw