Skip to main content
Skip to main content

Magatuzini I Vijana wahimizwa kuwa wabunifu

  • | KBC Video
    146 views
    Duration: 5:33
    Vijana wamehimizwa kuwa wabunifu katika kutafuta suluhisho za kimazingira ambazo zinaweza kutumiwa na jamii, sekta ya kibinafsi na serikali. Hayo yakijiri maskwota wanaoishi katika ardhi inayokumbwa na mzozo ya JM Kariuki katika kaunti ya Nyandarua, imeishukuru familia ya marehemu mwanasiasa huyo kwa kuwapa ekari 90 za ardhi kwa ajili ya makazi baada ya mzozo wa kisheria wa miaka 52, kuhusu umiliki wa mali hiyo. Mengi zaidi ni katika mseto wa kaunti Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive