Skip to main content
Skip to main content

Magavana kutoka kaunti tatu za Mlima Kenya wamkosoa Kahiga

  • | Citizen TV
    3,832 views
    Duration: 2:41
    Magavana kutoka kaunti tatu za Mlima Kenya wamemkashifu gavana wa Nyeri Mutahi Kahiga kuhusiana na matamshi yake tata kuhusu kifo cha hayati waziri mkuu wa zamani Raila Odinga. Magavana hao wakiyataja matamshi ya gavana Mutahi kuwa yasiyo adabu.