Skip to main content
Skip to main content

Mahakama kuu Uganda yatupilia mbali kesi ya kutoweka kwa wanaharakati wa Kenya

  • | Citizen TV
    1,696 views
    Duration: 1:26
    Mahakama kuu ya Uganda imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa ikitaka asasi za usalama kuwawasilisha wanaharakati wa Kenya Bob Njagi na Nicholas Oyoo waliotoweka Kampala. Katika uamuzi wake, jaji Simon Peter alisema aliridhishwa na maelezo ya maafisa wa usalama kuwa hawajui waliko