Skip to main content
Skip to main content

Mahakama mjini Kisii imewaachilia kwa dhamana askari 10 waliozuiwa kwa madai ya wizi

  • | Citizen TV
    2,456 views
    Duration: 1:59
    Mahakama mjini Kisii imewaachilia kwa dhamana askari 10 wa kaunti ya Kisii ambao wamekuwa wakizuiliwa korokoroni kwa madai ya wizi na uharibifu wa mali ya mfanyibiashara mmoja kaunti hiyo.