Skip to main content
Skip to main content

Mahakama ya Kisumu iliamrisha fidia ya milioni Ksh. 38.6 kwa waliodhulumiwa kwenye maandamano 2023

  • | Citizen TV
    833 views
    Duration: 2:59
    Mahakama ya Kisumu iliiamrisha serikali kulipa fidia ya shilingi milioni thelathini na nane kwa waathiriwa ishirini na wanane wa maandamano ya mwaka 2023. Jaji Alfred Mabeya alisema baadhi ya washtakiwa, ikiwemo idara ya polisi NPS walikiuka vipengee muhimu vya katiba na kusababisha vifo na majeraha kwa waathiriwa. Kwenye uamuzi huo, idara ya polisi imetakiwa kubuni kanuni za kuhakikisha kuna usalama wakati wa maandamano ili kuzuia maafa.