Mahakama ya Nairobi imeahirisha uamuzi wa kutoa dhamana kwa mwanamke aliyeshtakiwa kwa kumsababishia madhara makubwa mtoto mdogo, ikisubiri ripoti ya kabla ya dhamana ili kutathmini hali ya mwathiriwa na mshtakiwa. Mary Njeri Makumi anadaiwa kusababisha majeraha makubwa kwa mtoto wa miaka saba katika tukio linalosemekana kutokea Siku ya Mwaka Mpya huko Upper Hill, Nairobi. Letuaa Debra anasimulia zaidi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive