Skip to main content
Skip to main content

Mahakama yaamua kesi ya ulaghai wa Ksh.10.5m itaendelea

  • | Citizen TV
    401 views
    Duration: 1:15
    Mahakama moja jijini Nairobi imeamua kwamba kesi ya jinai inayohusiana na madai ya wizi wa Ksh milioni 10.5 itaendelea kusikilizwa, licha ya ombi la upande wa mashtaka kutaka kesi hiyo ihamishiwe Kitengo cha Biashara.