- 1,648 viewsDuration: 3:12Mahakama imebatilisha uuzaji wa asilimia 15 ya hisa zinazomilikiwa na serikali katika kampuni ya Safaricom, ikisema mchakato huo ulifanywa kinyume cha Katiba kwa kutowashirikisha wananchi kikamilifu. Majaji watatu wameamuru hisa hizo zilizokuwa zikiuzwa kwa kampuni ya Vodacom ya Afrika Kusini zirejeshwe kwa serikali ya Kenya, huku makubaliano yote yaliyofanywa yakibatilishwa.