Skip to main content
Skip to main content

Majiji ya New York na New Jersey yanapambwa tayari kwa Kombe la Dunia

  • | Citizen TV
    757 views
    Duration: 53s
    Majiji ya New York na New Jersey kule marekani yanajiandaa kuangaziwa kimataifa kwa kombe la dunia la FIFA 2026 katika uwanja uliopewa jina la New York New Jersey huko East Rutherford, unaojulikana nje ya mashindano ya fifa kama uwanja wa Metlife.