- 32 views
Kamati ya bunge ya kitaifa kuhusu haki na mswala ya sheria imewasaili watu wote saba waliopendekezwa kuwa makamishna wa tume huru ya uchaguzi na mipaka - IEBC. Aliyependekezwa kuwa mwenyekiti wa tume hiyo, Erastus Edung Ethekon, ambaye alikuwa mwanasheria mkuu kwenye serikali ya kaunti ya Turkana, alitakiwa kufafanua jinsi atakavyotekeleza wajibu wake bila upendeleo , hasa ikifahamika kwamba ana uhusiano wa karibu na naibu mkuu wa wafanyakazi katika ikulu ya rais, Josphat Nanok. Ethekon alijitetea akisema ana uwezo wa kuongoza tume hiyo akisema uhusiano wake na gavana huyo wa zamani wa Turkana ni wa kikazi na kwamba hautaathiri utendakazi wake.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Makamishna walioteuliwa wa IEBC wasailiwa
- 21 Jul 2025 - At least 16 people, mostly students, were killed Monday when a training aircraft of the Bangladesh Air Force crashed into a school campus in the capital Dhaka, in the country's deadliest aviation accident in decades.
- 21 Jul 2025 - A family whose 72-year-old father is accused of conspiring to murder five of his family members has lodged a complaint at the Naivasha Law Courts over the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP)’s pace in prosecuting the case.
- 21 Jul 2025 - Lawmakers have been urged to ensure that any proposed constitutional are passed in good time.
- 21 Jul 2025 - President defends bold pledges, stating that ambition, not overpromising, is key to national transformation The post Kenya can’t afford to be average, says Ruto appeared first on KBC Digital .
- 21 Jul 2025 - The project is set to cost Ksh1.4 billion.
- 21 Jul 2025 - Detectives have arrested six suspects linked to the fatal shooting of Constable Benard Koome Ithai, who was gunned down in the line of duty in Thika on June 18.
- 21 Jul 2025 - CJ Koome urged stakeholders to work with the Judiciary in safeguarding the country’s constitutional democracy
- 21 Jul 2025 - ODPP acknowledged the ongoing discourse sparked by legal actions following the events of June 25, 2025, July 7
- 21 Jul 2025 - Through female friendships, the promise of a life-long sisterhood is as clear as day.
- 21 Jul 2025 - Sakaja also proposed a solution which will cost homeowners at least Ksh15,000.