Skip to main content
Skip to main content

Makao saba ya watoto kufungwa kaunti ya Kwale kwa madai ya ulanguzi wa watoto kuibuka

  • | Citizen TV
    375 views
    Duration: 1:45
    Idara ya mahakama kaunti ya Kwale imeibua wasiwasi kuwa kuna baadhi ya makao ya watoto yanayoendeshwa bila usajili na huenda yanafanya biashara za ulanguzi wa watoto katika eneo la Lungalunga.