18 Sep 2026 10:14 am | Citizen TV 456 views Duration: 1:59 Makarani watano wa mamlaka ya ukuzaji chai KTDA na viwanda vya kibinafsi vya chai wamekamatwa katika eneo bunge la Bureti, Kaunti ya Kericho, kwa tuhuma za kuhitilafiana na mizani ya kupimia majani chai.