Skip to main content
Skip to main content

Makarani 5 wa KTDA na viwanda binafsi wakamatwa Kericho

  • | Citizen TV
    456 views
    Duration: 1:59
    Makarani watano wa mamlaka ya ukuzaji chai KTDA na viwanda vya kibinafsi vya chai wamekamatwa katika eneo bunge la Bureti, Kaunti ya Kericho, kwa tuhuma za kuhitilafiana na mizani ya kupimia majani chai.