Skip to main content
Skip to main content

Makavazi ya kitaifa na serikali ya kaunti ya Migori kushirikiana mafunzo ya ujenzi ulengao vijana 48

  • | Citizen TV
    137 views
    Duration: 2:02
    Makavazi ya Kitaifa ya Kenya, kwa ushirikiano na serikali ya Kaunti ya Migori na washikadau wengine, yatazamiwa kuzindua mpango maalum wa mafunzo ya kujenga ua kwa kutumia mawe makavu ulengao vijana 48 kutoka Kaunti Ndogo ya Nyatike.