Huenda tatizo la mzozo kati ya binadamu na wanyamapori ambao umekuwa ukiendelea kwa muda katika maeneo ya Kibwezi, Kaunti ya Makueni yanayopakana na hifadhi za wanyamapori ukatokomea kabisa baada ya washikadau mbalimbali wakiwemo wakulima na idara ya kuhifadhi wanyamapori [KWS] kukutana na kuweka mikakati kuutatua
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya