Skip to main content
Skip to main content

Malalamiko ya madereva wa masafa marefu kuhusu usalama wao

  • | Citizen TV
    248 views
    Duration: 1:32
    Madereva wa masafa marefu kutoka Mombasa wametoa makataa kwa serikali na jumuiya ya Afrika mashariki kutatua changamoto ya usalama katika taifa la sudan kusini. wamelalamikia kukamatwa kwa Mwenyekiti wa madereva wa masafa marefu kaunti ya Mombasa Sudi Mwatela mpakani Uganda na Sudan kusini huko NIMLE