Skip to main content
Skip to main content

Malezi magumu kwa watoto wanaougua tawahudi

  • | Citizen TV
    474 views
    Duration: 3:10
    Maelfu ya watu nchini wanapambana na malezi ya watoto wanaougua tawahudi. Ugonjwa huo unaathiri mawasiliano na jinsi wanaougua tawahudi wanatangamana na ulimwengu. Wanaoishi na tawahudi wanahitaji malezi maalum na matibabu ya akili, mwili na utangamano na jamii. Walezi hujipata katika hali ngumu ya kuwalea watoto hao kutokana na mahitaji yao maalum na unyanyapaa wa jamii.