Skip to main content
Skip to main content

Mange Kimambi aipeleka Meta mahakamani

  • | BBC Swahili
    52,242 views
    Duration: 3:19
    Mwanaharakati wa mtandaoni Mange Kimambi ameishtaki kampuni ya Meta katika Mahakama ya California, akidai kampuni hiyo ilifunga akaunti zake za Instagram baada ya kushinikizwa na Serikali ya Tanzania. Mwandishi wa BBC @sammyawami na taarifa zaidi - - #bbcswahili #siasa #wanaharakati #mangekimambi