17 Apr 2026 7:24 pm | Citizen TV 546 views Duration: 2:12 Jaji Mkuu mstaafu David Maraga amekashifu kile anachokitaja kama ufisadi kwenye sekta ya mafuta kufuatia mpango wa uagizaji mafuta kati ya serikali za milki ya Kiarabu na Kenya.