- 3,892 viewsDuration: 3:46Aliyekuwa Waziri Raphael Tuju hakufikishwa katika mahakama ya Kibra baada ya kukamatwa hapo jana alipojitokeza baada ya kudaiwa kutoweka siku ya Jumamosi. Mawakili wake walieleza mahakama kuwa Tuju alijeruhiwa wakati wa kukamatwa na kwamba hali yake sio nzuri kiafya na hawezi kufika mahakamani.