Skip to main content
Skip to main content

Maswali yaliiibuka bungeni kuhusu matumizi ya shilingi 8m kila siku kumsafirisha Naibu Raisai

  • | Citizen TV
    1,387 views
    Duration: 3:13
    Maswali yaliiibuka kwenye kamati ya uhasibu bungeni kuhusu matumizi ya shilingi milioni nane kila siku kumsafirisha Naibu Rais katika kaunti za Tharaka Nithi, Laikipia, Isiolo na Kitui. Wabunge wakitaka maelezo ya faida za safari hizo kwa umma