Skip to main content
Skip to main content

Mauaji ya wanawake nchini yameongezeka mwaka jana, vijana wakiwa washiriki wakuu

  • | Citizen TV
    3,605 views
    Duration: 37s
    Mauaji ya wanawake nchini yaliongezeka mwaka jana ikilinganishwa na miaka minne iliyopita. Ripoti ya taasisi ya kitaifa ya kuchunguza uhalifu pia ikisema kuwa, vijana wa kuanzia miaka 20 wamekuwa wakihusika na mauaji