Skip to main content
Skip to main content

Mbunge wa bunge la Afrika mashariki Kanini Kega aripoti shambulizi la gari lake polisi Ol Joro Orok

  • | Citizen TV
    3,001 views
    Duration: 1:23
    Kanini Kega ameandikisha taarifa katika kituo cha polisi cha Ol Joro Orok baada ya gari lake kuvamiwa na kupigwa risasi jana alipokuwa akitoka kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa eneo bunge la Ol-kalou.