Idara ya magereza inazingatia matumizi ya kawi safi katika juhudi za kuboresha magereza na mchakato wa kudumisha haki.Mfumo mpya wa matumizi ya kawi inayotokana na miyale ya jua,ulizinduliwa leo katika gereza la rumande la Nairobi,hatua inayotarajiwa kupunguza gharama ya umeme na kuhakikisha kwamba kesi zinazoendeshwa kupitia mtandao hazikatizwi.Waziri wa kawi Opiyo Wandayi,alipongeza hatua hiyo huku akitoa wito kwa magereza mengine kuiga mfano huo.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive