- 31,312 viewsDuration: 47sTakriban watu 107 wamefariki dunia kufuatia maporomoko ya ardhi katika eneo la uchimbaji madini huko Zamboï, eneo lililo kwenye mpaka kati ya Cameroon na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Haijulikani bado kilichosababisha maporomoko hayo ya ardhi. #bbcswahili #zamboimine #mgodikuporomoka Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw