- 88 views
Muungano wa upinzani umeendelea kuikosoa serikali kwa kutumia nguvu kuwakandamiza wale wasiokubaliana na sera za serikali. Wakiongea na wanahabari, viongozi hao akiwemo martha karua na kalonzo musyoka wamesema wataendelea kukemea maovu ya serikali ya kenya kwanza huku wakilenga kuondoa mamlakani katika uchaguzi mkuu wa 2027. Baadhi ya Viongozi katika Kaunti ya Isiolo wamekanusha madai ya kuidhinisha bajeti ya mwaka wa 2025/2026 ya kaunti hiyo kwa njia ya udanganyifu, wakisisitiza kuwa mchakato huo ulifuata sheria kikamilifu . Wametahadharisha wakazi dhidi ya kupotoshwa na siasa za uchochezi, huku wakikanusha pia kuwepo kwa mpango wa kumuondoa Karani wa Bunge, Salad Guracha.
Mgogoro wa bajeti ya Isiolo
- - 🔴 KTN LIVE STREAM ››
- 1 Aug 2025 - Kenya Power has warned the public and its customers of individuals soliciting bribes and illegal favors whilst impersonating the company’s managing director (MD) and CEO, Eng. (Dr.) Joseph Siror.
- 1 Aug 2025 - United States President Donald Trump has slapped steep tariffs on exports from dozens of trading partners.
- 1 Aug 2025 - Uproar over the planned importation of rice has intensified, with opposition leaders terming the plan a scheme to swindle billions of shillings through cartels.
- 1 Aug 2025 - The Kenya Bureau of Standards (KEBS) has dismissed reports alleging the distribution of sugar unfit for human consumption. KEBS noted that all locally produced and imported sugar undergoes mandatory inspection, testing, and certification before reaching…
- 1 Aug 2025 - The two are being investigated over claims of preparation to commit a felony.
- 1 Aug 2025 - 'Enough is enough': New study exposes scale of violence against Nairobi's young women
- 1 Aug 2025 - The changes are expected to take effect in the next few days.
- 1 Aug 2025 - The Hope Farm Project was officially launched on Saturday, July 26. By the end of 2025, 1,000 goats and sheep are expected to be distributed.
- 1 Aug 2025 - All animals, including household pets, are banned, except for certified service dogs.
- 1 Aug 2025 - Sources say investigators are preparing to quietly shelve the case