Skip to main content
Skip to main content

Misaada ya chakula katika shule za msingi imesaidia kwa kiasi kikubwa

  • | Citizen TV
    186 views
    Duration: 2:02
    Misaada ya chakula katika shule za msingi zilizo katika maeneo yaliyoathirika na ukame katika kaunti ndogo ya Kauma kaunti ya Kilifi, imesaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza visa vya dhuluma dhidi ya wasichana kwa zaidi ya asilimia 50.