Skip to main content
Skip to main content

Mizigo ya madeni ya Kenya yazuia ugavi wa pesa, Nyakango asema

  • | Citizen TV
    615 views
    Duration: 2:19
    Msimamizi wa bajeti Margaret Nyakango sasa amelalamikia mzigo wa madeni nchini akisema kuwa unazidi kuathiri utekelezaji wa bajeti. Nyakango anasema kuwa madeni hayo yanalazimisha hazina ya kitaifa kuchelewesha kutoa pesa za matumizi kwa idara tofauti za serikali.