30 Jan 2026 1:33 pm | Citizen TV 182 views Duration: 1:11 Baadhi ya wakaazi wa eneo la Magarini kaunti ya Kilifi wameomba viongozi kutatua mizozo baina ya waekezaji na wananchi wa eneo Hilo ili wananchi wasikose ajira iwapo kampuni zitafungwa.