Mkaazi wa Dar es Salaam asema Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ni bora duniani
Wakati Tanzania ikiadhimisha siku ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliotimiza miaka 60 Ijumaa, Rais Samia Suluhu Hassan amewataka vijana nchini humo kuuenzi na kuulinda muungano.
Wakati huo huo vijana katika maadhimisho hayo wameitaka serikali kuwapatia elimu juu ya Muungano ili kuwasaidia kuufahamu kwa undani pamoja na kutatua changamoto zilizopo.
Sherehe za Muungano zimefanyika Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru na kuhudhuriwa na Marais kutoka nchi 7 za Afrika ikiwemo Kenya, Burundi, Zambia, Somalia, Comoro na Namibia. Pia imehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Kiserikali kutoka Barani Afrika.
Wakati akilihutubia taifa Rais Samia amewahimiza vijana kuulinda na kuuenzi Muungano kwa kuwa ni urithi na tunu ya Taifa la Tanzania na ni tunu ya Afrika kwa ujumla.
“Matokeo ya Sensa ya mwaka 2022 yanatuonyesha kwamba idadi kubwa ya Watanzania ni vijana kwa kuzingatia hilo uimara na uendelevu upo mikononi mwa vijana. Nina wasihi sana vijana wote wa Tanzania muwe walinzi wa Muungano huu,” alisema Rais Samia.
Hata hivyo bado vijana wamekuwa wakilalamika ukosefu wa elimu ya Muungano ambayo ilipaswa kutolewa ili kuwasaidia kufahamu haki zao na pia kufahamu mipaka yao katika muungano huo.
#Maadhimisho #muungano #zanzibar #tanganyika #voa #voaswahili #raiswatanzania #samiasuluhuhassan #JuliusNyerere #abeidamanikarume
11 Aug 2025
- This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.
11 Aug 2025
- KUPPET claims that TSC should follow in the footsteps of the National Police Service.
11 Aug 2025
- The Kenyan was part of a group which had other East African nationals.
11 Aug 2025
- Fresh fighting between the Somali government and forces loyal to the semi-autonomous southern Jubaland region killed at least two Somali soldiers on Monday, the defence ministry said.
11 Aug 2025
- Justice Bahati Mwamuye issued the directive after lawyer Kibe Mungai, representing the petitioner, informed the court that the DPP had yet to file his response, stalling progress in the case.
11 Aug 2025
- Police in Kilifi County say they have discovered seven shallow graves with human bones and skulls at Kwa Binzaro village.
11 Aug 2025
- The Nairobi Hospital on Monday announced it had suspended the implementation of its recently announced price adjustments following a meeting with medical insurance providers.
11 Aug 2025
- Mobile phone ownership in Kenya has risen from 47.3% in 2019 to 53.7% in 2024 as internet usage also increased nationally from 22.7 per cent in 2019 to 35.0 per cent in 2024.
11 Aug 2025
- This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.
11 Aug 2025
- Coach McCarthy thanked the President for the motivation saying it was a key support.
11 Aug 2025
- The Judiciary is now looking to make a closer and safer step into the future of technology with the latest unveiling of a framework that will guide the integration of Artificial Intelligence (AI) tools in enhancing operations at the Judiciary.
11 Aug 2025
- KUPPET claims that TSC should follow in the footsteps of the National Police Service.
11 Aug 2025
- He says the court has no authority to force the DPP to charge him.