Mkaazi wa Dar es Salaam asema Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ni bora duniani
Wakati Tanzania ikiadhimisha siku ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliotimiza miaka 60 Ijumaa, Rais Samia Suluhu Hassan amewataka vijana nchini humo kuuenzi na kuulinda muungano.
Wakati huo huo vijana katika maadhimisho hayo wameitaka serikali kuwapatia elimu juu ya Muungano ili kuwasaidia kuufahamu kwa undani pamoja na kutatua changamoto zilizopo.
Sherehe za Muungano zimefanyika Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru na kuhudhuriwa na Marais kutoka nchi 7 za Afrika ikiwemo Kenya, Burundi, Zambia, Somalia, Comoro na Namibia. Pia imehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Kiserikali kutoka Barani Afrika.
Wakati akilihutubia taifa Rais Samia amewahimiza vijana kuulinda na kuuenzi Muungano kwa kuwa ni urithi na tunu ya Taifa la Tanzania na ni tunu ya Afrika kwa ujumla.
“Matokeo ya Sensa ya mwaka 2022 yanatuonyesha kwamba idadi kubwa ya Watanzania ni vijana kwa kuzingatia hilo uimara na uendelevu upo mikononi mwa vijana. Nina wasihi sana vijana wote wa Tanzania muwe walinzi wa Muungano huu,” alisema Rais Samia.
Hata hivyo bado vijana wamekuwa wakilalamika ukosefu wa elimu ya Muungano ambayo ilipaswa kutolewa ili kuwasaidia kufahamu haki zao na pia kufahamu mipaka yao katika muungano huo.
#Maadhimisho #muungano #zanzibar #tanganyika #voa #voaswahili #raiswatanzania #samiasuluhuhassan #JuliusNyerere #abeidamanikarume
11 May 2024
- NTSA has been cracking down on unroad-worthy vehicles across the country since April.
11 May 2024
- According to the police report, the suspect rode on his motorcycle with the KDF officers into Kabete Barracks.
11 May 2024
- The brave move by the Grade One student saw the residents applaud him.
11 May 2024
- One person lost his life on Saturday morning following a road accident involving a lorry and a saloon car at Mugaya area along the Kagumo-Mutito Road, Kirinyaga County.
11 May 2024
- A bodaboda operator from Kerugoya, Kirinyaga County has been arrested for harboring two sisters reported missing by their kin over a month ago.
11 May 2024
- The United Nations General Assembly on Friday overwhelmingly backed a Palestinian bid to become a full U.N. member by recognizing it as qualified to join and recommending the U.N. Security Council "reconsider the matter favorably."
11 May 2024
- The Biden administration on Friday said Israel's use of U.S.-supplied weapons may have violated international humanitarian law during its military operation in Gaza, in its strongest criticism to date of Israel.
11 May 2024
- “The Authority will keep monitoring the situation and give further updates to the public in due course."
11 May 2024
- NTSA has been cracking down on unroad-worthy vehicles across the country since April.
11 May 2024
- Environment Climate Change and Forestry Cabinet Secretary Suipan Tuya has revealed that the Friday Tree Planting holiday was more successful than the first one last year.
11 May 2024
- Chesang will now serve a new three-year term at the National Council for Persons with Disabilities office.
11 May 2024
- According to the police report, the suspect rode on his motorcycle with the KDF officers into Kabete Barracks.
11 May 2024
- About 70,000 people are living in temporary shelters.