- 4,859 viewsDuration: 1:45Mkurugenzi wa idara ya upelelezi wa makosa ya jinai Mohammed Amin, amesema uchunguzi umeanzishwa kuhusu kisa ambapo seneta wa vihiga godfrey osotsi alivamiwa katika mkahawa mmoja kule kisumu hapo jana. Amin alikuwa bungeni mbele ya kamati ya usalama ya bunge la kitaifa.