Skip to main content
Skip to main content

Mkuu wa utumishi wa umma awataka wafanyakazi kuzingatia maadili

  • | Citizen TV
    421 views
    Duration: 1:02
    Mkuu wa utumishi wa umma Felix Koskei amewataka wafanyakazi wa serikali kuzingatia maadili wakati wote ili kuziba mianya ya ufisadi katika ofisi za umma. Kulingana naye, serikali itaendelea kutoa mafunzo ya kuboresha utoaji huduma katika idara zote za serikali.