- 3,418 views
Mmiliki wa jumba lililoporomoka na kuwaua watu wawili eneo la Ruaka juma lililopita amekamatwa. Mshukiwa aliyekuwa akitafutwa tangu tukio hilo alikamatwa katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta akijaribu kuondoka nchini. Kamishna wa kaunti ya Kiambu Joshua Nkanatha akisema kuwa mtu huyo kwa sasa anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Kiambu akisubiri kufikishwa kortini. Jumba hilo liliporomoka na kusababisha vifo vya mtu na mkewe. kwa mujibu wa Nkanatha, mmiliki huyu pamoja na wahusika wengine wakiwemo maaafisa wa kaunti na wahandisi huenda wakashtakiwa. Kukamatwa kwake kukijiri saa chache baada ya jumba jingine kuporomoka katika eneo la Ruiru kaunti hiyo hiyo ya Kiambu
Mmiliki wa jumba lililoporomoka Ruaka akamatwa
- 18 Jul 2025 - The Teachers Service Commission (TSC) has announced a nationwide retooling exercise for senior school teachers as part of preparations for the rollout of Competency-Based Education (CBE) under the Competency-Based Curriculum (CBC).
- 18 Jul 2025 - Residents of Ngurubani and surrounding areas in Tebere Ward, Kirinyaga County are living in fear following a surge in the number of stray dogs roaming the area.
- 18 Jul 2025 - Kenya has the most expensive fuel in the East African region, a situation exacerbated by the recent sharp increase in prices at the pump during the latest review.
- 18 Jul 2025 - Russian lawmakers on Thursday advanced a bill that would outlaw opening or searching for content online judged "extremist", such as songs glorifying Ukraine and material by feminist rock band Pussy Riot.
- 18 Jul 2025 - The advisor is yet to issue a response on the matter.
- 18 Jul 2025 - Citizen Digital - Get the latest breaking news in Kenya, county news, world news, elections news, Kenya politics, business, sports, entertainment, Exclusive Videos from Kenya. Watch Citizen TV and Listen to all Radio stations and Podcasts on the go.
- 18 Jul 2025 - The NPS CCTV command centre at Jogoo House was not functional at the time.
- 18 Jul 2025 - High drama characterises typical political events in Kenya. The main characters – politicians – set the mood with their grand arrivals, reflecting their networks and net worth. Those with well-nourished pockets and connections to power circles arrive in…
- 18 Jul 2025 - This follows intense public backlash, especially after the death of Julia Kariuki in Nanyuki GK Prison, she couldn't raise Sh50,000 bail.
- 18 Jul 2025 - President William Ruto says Kenya and Rwanda remain steadfast partners in advancing stability and prosperity across the East African region.